PRIME Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa– 2 Walitenda kosa hilo, Januari 5, 2022, katika Kituo cha Polisi Mitengo wilayani humo.
PRIME Kesi dhidi ya Lissu kunguruma tena leo? Kesi mbili zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumanne Julai Mosi, 2025, zinaendelea kuunguruma katika hatua tofautitofauti.
Bei ya petroli, dizeli yashuka Julai Bei ya mafuta ya petroli, dizeli na ya taa katika Bandari ya Dar es Salaam imeshuka ikilinganishwa na Juni 2025.
PRIME Huu ndio umuhimu wa elimuhisia kwenye mfumo wa elimu Watafiti wa eneo hili la hisia wanatuambia kuwa hisia, kama eneo muhimu katika makuzi, ni zao la uhusiano wa karibu baina ya mtoto na mzazi wake. Miaka ya mwanzo ya maisha ya mtu inajenga msingi...
Operesheni Majimaji ya ACT- Wazalendo kuanza leo Kigoma Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, leo Jumanne Julai 1, 2025 anaanza ziara yake ya siku 15 katika mikoa saba nchini, ikiwa ni mwanzo wa Operesheni Majimaji ya chama hicho.
Ripoti ya kampuni ya Carbon Tanzania yaonyesha maendeleo makubwa katika jamii kutokana na faida za miradi ya hewa ukaa
Export Credit Financial Services inawawezesha wasafirishaji wa kitanzania kupitia ujumuishaji wa kifedha
PRIME Majimbo yenye ushindani CCM Umaarufu, mvuto kwa wananchi na uzoefu wa muda mrefu ni miongoni mwa sifa zitakazowabeba baadhi ya watia nia huku uamuzi wa mwisho ukitarajiwa kufanywa na wajumbe kabla ya kutangazwa kwa mteule...
Hizi hapa sababu ZRA kuvuka lengo makusanyo ya mwaka kwa asilimia 101 Amesema makusanyo hayo yameongezeka kwa asilimia 19.91, sawa na Sh143.122 bilioni, ikilinganishwa na makusanyo halisi ya mwaka wa fedha 2023/24 ambayo yalikuwa Sh718.760 bilioni.
PRIME Majimbo yenye ushindani CCM Umaarufu, mvuto kwa wananchi na uzoefu wa muda mrefu ni miongoni mwa sifa zitakazowabeba baadhi ya watia nia huku uamuzi wa mwisho ukitarajiwa kufanywa na wajumbe kabla ya kutangazwa kwa mteule...
TRA yaandika historia mpya ya makusanyo Wakati mwaka mpya wa fedha ukianza leo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imemaliza mwaka wa fedha 2024/2025 kwa mafanikio, ikivuka lengo la makusanyo yake na kuandika historia mpya ya ukusanyaji.
PRIME MC Alger yaitibulia Yanga kwa Mokwena Kocha wa zamani wa Wydad Casablanca, Rulani Mokwena, ameripotiwa kuwa kwenye orodha ya makocha wanaowaniwa na klabu ya MC Alger, ambao ndiyo Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Algeria (Ligue 1)...
Mwananchi Newsletter Sent every week with an update on the latest Africa news and analysis to keep you plugged into the region. Weekly newsletter Subscribe
Hata Volodymyr Zelenskyy alianza kama Shilole, Baba Levo, Mkojani Jana mida flan hivi, mdogo mdogo wakati narudi nyumbani nikiwa natoka zangu Jangwani kupiga kelele na kina Mzize. Nikakumbuka mfukoni sina hata mia, mawazo yakahama kutoka Jangwani hadi kwenye...
Kile apandacho mtu ndicho atakivuna Bwana Yesu asifiwe, Karibu katika tafakari ya ujumbe wa leo unaosema, “Kile apandacho mtu ndicho atakachovuna” Maombolezo 5:7 inasema Baba zetu walitenda dhambi hata hawako; na sisi...
Kukithiri udumavu Afrika kwawaibua wadau Jumuiya ya Afya ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA), na Mtandao wa Asasi za Kiraia zinazohusika na masuala ya lishe ( ESA SUN CSN), wamesaini mkataba wa miaka mitano wenye lengo la...